Baadhi ya washiriki wa semina ya HIV PREVENTION iliyotolewa na TACEDE katika ukumbi wa TDFT uliopo Cheo Mkoani Tabora, semina hii hutolewa kwa ajili ya kuwaelimisha wafanyakazi wote wafanyao kampuni za Kichina zinazohusika na ujenzi wa kipande cha barabara ya Dar mpaka Kigoma, kilichokatiza Tabora Manispaa.Kuhusiana na namna ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI
TACEDE NI ASASI ISIYO YA KISERIKALI ISIYO NA MASLAHI KIFEDHA YENYE KUTOA ELIMU YAKUJITAMBUA KATIKA JAMII
No comments:
Post a Comment