Godless akiongoza semina ya namna ya kuwaelimisha wafanyakazi wa kampuni za Kichina zinazoshughulika na ujenzi wa kipande cha barabara ya kutoka Dar mpaka Kigoma kupitia Tabora Manispaa juu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Semina hiyo ilifanyika kwa muda wa siku tatu iliyofanyika tarehe 12.06.2017 - 14.06.2017 katika ukumbi wa TDFT cheo Tabora,
TACEDE NI ASASI ISIYO YA KISERIKALI ISIYO NA MASLAHI KIFEDHA YENYE KUTOA ELIMU YAKUJITAMBUA KATIKA JAMII
No comments:
Post a Comment