KARIBU KATIKA BLOG YETU AMBAPO UTAPATA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU TACEDE TANZANIA
<<<TACEDE NI ASASI ISIYO YA KISERIKALI ISIYO NA MASLAHI KIFEDHA YENYE KUTOA ELIMU YAKUJITAMBUA KATIKA JAMII>>>

TACEDE TANZANIA

TACEDE TANZANIA

Thursday, June 22, 2017

JINSI YA KUVUA KONDOMU YA KIUME PINDI UMALIZAPO TENDO LA KUJAMIANA.

Wanasemina katika semina ya HIV PREVENTION iliyoandaliwa na TACEDE juu ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya UKIMWI, wakitoa mfano wa namna ya kutumia kondomu ya kiume, namna ya kuvaa na kuvua kondomu hiyo.

Mwanamke ndiye anayepaswa kumvua mwanaume kondomu wakati wa kumaliza tendo la kujamiana. Sababu za kimsingi ni kwamba; ile sehemu ya nje ya kondomu ndiyo iliyokua ndani mwa mwili wa mwanamke, hivyo kama sehemu hiyo ya ndani ilikuwa na michubuko ni rahisi sana damu kubaki sehemu ya nje ya kondomu hiyo, ikiwa kama mwanaume naye atakuwa na michubuko midogo au mikubwa kwenye mikono, halafu akashiki kuvua kondomu ile ni rahisi sana kupata maambukizi, Hivyo inashauriwa kiusalama zaidi, njia nzuri kuepuka hatari hiyo ni mwanamke mwenyewe amvue mwanaume kondomu.

No comments:

Post a Comment