Ni mafunzo ya jamii ya watu wa Igunga kwa mabinti waishio kwenye mazingira magumu na watoto wenye watoto, ni mafunzo juu ya life skills, sexuality, jinsia na kujilinda na maambukizi ya UKIMWI.
TACEDE NI ASASI ISIYO YA KISERIKALI ISIYO NA MASLAHI KIFEDHA YENYE KUTOA ELIMU YAKUJITAMBUA KATIKA JAMII
Great idea!
ReplyDelete