KARIBU KATIKA BLOG YETU AMBAPO UTAPATA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU TACEDE TANZANIA
<<<TACEDE NI ASASI ISIYO YA KISERIKALI ISIYO NA MASLAHI KIFEDHA YENYE KUTOA ELIMU YAKUJITAMBUA KATIKA JAMII>>>

TACEDE TANZANIA

TACEDE TANZANIA

Monday, September 4, 2017

WANAMTANDAO WA ELIMU TANZANIA (TEN/MET)

TACEDE ni moja kati ya wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), waliohudhulia warsha ya mafunzo ya Mfumo wa Ufatiliaji wa matumizi ya Fedha za umma - Public Expenditure Trackibg Systems (PETS), iliyofanyika mjini Morogoro. Mafunzo haya yalihudhuluwa na wa wakilishi wa asasi mbalimbali kutoka mikoa sita (6) ya kanda ya magharibi, mashariki na kati, yaani Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro, Tanga na Dar-es-Salaamu.

No comments:

Post a Comment