TACEDE ni moja kati ya wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), waliohudhulia warsha ya mafunzo ya Mfumo wa Ufatiliaji wa matumizi ya Fedha za umma - Public Expenditure Trackibg Systems (PETS), iliyofanyika mjini Morogoro. Mafunzo haya yalihudhuluwa na wa wakilishi wa asasi mbalimbali kutoka mikoa sita (6) ya kanda ya magharibi, mashariki na kati, yaani Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro, Tanga na Dar-es-Salaamu.
TACEDE NI ASASI ISIYO YA KISERIKALI ISIYO NA MASLAHI KIFEDHA YENYE KUTOA ELIMU YAKUJITAMBUA KATIKA JAMII
No comments:
Post a Comment